leo ndio ile siku diamond platnumz ata Release ngoma yake mpya inayoitwa Nataka kulewa so stay tune on Clouds fm ni noumaaaa
Monday, October 29, 2012
R.I.P LEXA JULIUS
R.I.P Lexa julius msanii kutoka TZ pande za arachuga Lexa amepoteza maisha kwa kuchomwa na kisu na mtu asiye julikana na tym hii mtu mzima JCB anashikiliwa na polisi ka msaada maana pindi mtu mzuma LEXA anadanga waliachana kama dakika 5 ivi .......siku zote tunasema bwan alitoa na bwana alitwaa.......
Thursday, September 27, 2012
MH: JOSEPH MBILINYI AKA SUGU APATA MTOTO WA KIKE
Jana mh: joseph mbilinyi mbunge wa mbeya kupitia ukurasa wake wa facebook ,akionyesha furaha aliyonayoamejurisha umma kuwa amepata mtoto wakike aliempa jina la Sasha Desderia J. mbilinyi....... huyo ndio mh: Mbiinyi!!!!
Tuesday, September 25, 2012
Nicole Schezinger apata Bingo
Nicole Schezinger apiga show dakika 45 kwa Dollar M.1 na kupewa offer ya kupanda ndege first class iyo ndio Bingo ya Nicole.....!!!
Recho aja na wimbo mpya
Msanii wa kike Recho anaetamba na kibao chake cha Upepo ameachia ngoma mpya inayokwenda kwa jina la NASHUKURU UMEREJE na uyo ndio Rechoo...!!
Tuesday, September 11, 2012
Thursday, June 14, 2012
kwa viatu vikali
kama unapenda vitu uniq ebu nitafute kwa namba izi #0714503131 kwa biashara nipo hapahapa bongo we bicheck ntakupeleka mpaka godawn#halla
Get ready for miss dar city
yeah people get ready for the show ya mnyama Diamond Platnumz usikose ni tarehe 15-06-2012 at golden
#halla
#halla
Diamond afungua blog yake
msanii maarufu bongo ambaye ni celebrities wa bongo amefungua blog yake ambayo iyo blog atakuwa anaweka vitu ambavyo atakuwa anafanya pia amesema ''Mtz kuwa wa kwanza kufungua blog hii'' huyo ndio msanii wetu DIAMOND PLATNUMZ baby #halla
Subscribe to:
Posts (Atom)