R.I.P Lexa julius msanii kutoka TZ pande za arachuga Lexa amepoteza maisha kwa kuchomwa na kisu na mtu asiye julikana na tym hii mtu mzima JCB anashikiliwa na polisi ka msaada maana pindi mtu mzuma LEXA anadanga waliachana kama dakika 5 ivi .......siku zote tunasema bwan alitoa na bwana alitwaa.......