Monday, October 29, 2012

Diamond platnumz aja na ngoma yake mpyaa

leo ndio ile siku diamond platnumz ata Release ngoma yake mpya inayoitwa Nataka kulewa so stay tune on Clouds fm ni noumaaaa

R.I.P LEXA JULIUS

R.I.P Lexa julius msanii kutoka TZ pande za arachuga Lexa amepoteza maisha kwa kuchomwa na kisu na mtu asiye julikana na tym hii mtu mzima JCB anashikiliwa na polisi ka msaada maana pindi mtu mzuma LEXA anadanga waliachana kama dakika 5 ivi .......siku zote tunasema bwan alitoa na bwana alitwaa.......