leo ndio ile siku diamond platnumz ata Release ngoma yake mpya inayoitwa Nataka kulewa so stay tune on Clouds fm ni noumaaaa
SuLeImAn LaChIcO bAbY
Monday, October 29, 2012
R.I.P LEXA JULIUS
R.I.P Lexa julius msanii kutoka TZ pande za arachuga Lexa amepoteza maisha kwa kuchomwa na kisu na mtu asiye julikana na tym hii mtu mzima JCB anashikiliwa na polisi ka msaada maana pindi mtu mzuma LEXA anadanga waliachana kama dakika 5 ivi .......siku zote tunasema bwan alitoa na bwana alitwaa.......
Thursday, September 27, 2012
MH: JOSEPH MBILINYI AKA SUGU APATA MTOTO WA KIKE
Jana mh: joseph mbilinyi mbunge wa mbeya kupitia ukurasa wake wa facebook ,akionyesha furaha aliyonayoamejurisha umma kuwa amepata mtoto wakike aliempa jina la Sasha Desderia J. mbilinyi....... huyo ndio mh: Mbiinyi!!!!
Tuesday, September 25, 2012
Nicole Schezinger apata Bingo
Nicole Schezinger apiga show dakika 45 kwa Dollar M.1 na kupewa offer ya kupanda ndege first class iyo ndio Bingo ya Nicole.....!!!
Recho aja na wimbo mpya
Msanii wa kike Recho anaetamba na kibao chake cha Upepo ameachia ngoma mpya inayokwenda kwa jina la NASHUKURU UMEREJE na uyo ndio Rechoo...!!
Tuesday, September 11, 2012
Subscribe to:
Posts (Atom)